Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Juhudi za wakunga na wauguzi kuhudumia jamii wilaya ya Pangani, Tanzania

Juhudi za wakunga na wauguzi kuhudumia jamii wilaya ya Pangani, Tanzania

Pakua

Mwaka wa 2020 ni mwaka wa kutambua mchango wa wauguzi na wakunga katika kufanikisha afya kwa wote. Nchi mbalimbali kwa kutambua mchango wa watu hawa, zimechukua hatua kuwawezesha licha ya kwamba bado idadi ya wauguzi kwa wagonjwa katika nchi nyingi haijafikia viwango vinavyohitajika.

Tanzania ni moja ya nchi ambazo zinaendelea kuweka msistizo katika kuimarisha idadi ya wauguzi kwenye hospitali. Katika Makala hii, Saa Zumo wa radio washirika amevinjari hospitali ya Pangani na haya ni mahojiano yake na mgeni wa leo anaanza kwa kujitambulisha

Audio Credit
Grace Kaneiya/ Saa Zumo
Audio Duration
4'59"
Photo Credit
© UNICEF/Karin Schermbrucke