Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Apu mpya ya IOm kusaidia kulinda taarifa binasi mitandaoni

Apu mpya ya IOm kusaidia kulinda taarifa binasi mitandaoni

Pakua

Shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji IOM limezindua Apu mpya ya simu za rununu ijulikanayo kama “Community Response App” ambayo inaweza kutumika kokote duniani kuwawezesha wanaosimulia hadithi zao kufanya maamuzi kuhusu matumizi ya taarifa zao binafsi, kulikoni?

Audio Credit
UN News/John Kibego
Audio Duration
1'48"
Photo Credit
WFP/Gregory Barrow