Apu mpya ya IOm kusaidia kulinda taarifa binasi mitandaoni
Pakua
Shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji IOM limezindua Apu mpya ya simu za rununu ijulikanayo kama “Community Response App” ambayo inaweza kutumika kokote duniani kuwawezesha wanaosimulia hadithi zao kufanya maamuzi kuhusu matumizi ya taarifa zao binafsi, kulikoni?
Audio Credit
UN News/John Kibego
Audio Duration
1'48"