Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

25 Februari 2020

25 Februari 2020

Pakua

Jaridani hii leo Flora Nducha anaanza na uzinduzi wa jopo la kusimamia masuala ya watu kufurushwa makwao, uzinduzi umefanyika Geneva, Uswisi kisha tunabisha hodi Chad ambako watu wamefurushwa na kukimbilia Darfur nchini Sudan. Nchini Myanmar mradi wa ILO waleta nuru kwa wafanyakazi wa viwanda vya kushona nguo na mabegi na makala ni mwendelezo wa masuala ya wakunga na wauguzi na mashinani tunamsikia mtoto mkimbizi wa ndani nchini Syria akisema kile afanyacho, kuuza maua ili kulisha familia yake. Karibu!

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
11'47"