Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

24 FEBRUARI 2020

24 FEBRUARI 2020

Pakua

Jaridani Flora Nducha leo Februari 24, 2020

-Guterres azindua wito wa kuchukua hatua ili kulinda haki za binadamu duniani

- Vitisho dhidi ya haki za binadamu vinaongezeka lakini pia suluhisho-Bachelet

-Wakimbizi wanaokimbia ukatili wapata kimbilio kupitia chifu mji wa Kaya, Burkina Faso

Kwenye makala tunaeleka nchini Uganda.

Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
12'1"