24 FEBRUARI 2020
Pakua
Jaridani Flora Nducha leo Februari 24, 2020
-Guterres azindua wito wa kuchukua hatua ili kulinda haki za binadamu duniani
- Vitisho dhidi ya haki za binadamu vinaongezeka lakini pia suluhisho-Bachelet
-Wakimbizi wanaokimbia ukatili wapata kimbilio kupitia chifu mji wa Kaya, Burkina Faso
Kwenye makala tunaeleka nchini Uganda.
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
12'1"