Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mchango wa wakunga wa jadi ni dhahiri hususan, Mwanza-Tanzania

Mchango wa wakunga wa jadi ni dhahiri hususan, Mwanza-Tanzania

Pakua

Katika mfululizo wa makala zetu tukiangazia wakunga na wauguzi mwezi wa Februari, Leo tunaelekea mkoani Mwanza nchini Tanzania ambapo redio washirika, Redio SAUT, iliyoko mkoani Mwanza nchini Tanzania, katika makala iliyoandaliwa na Evarist Mapesa na kusimuliwa na Nyota Simba, inaangazia mkunga wa jadi Emmy Paulo Chalamila wa zahanati ya Igogo ya jijini Mwanza, Tanzania.

Audio Credit
Emmy Paulo Chalamila
Audio Duration
5'27"
Photo Credit
Photo: WHO/A. Esiebo