Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hatuna namna ya kupunguza vifo vya watoto wachanga na wazazi  tukiwaweka pembeni wauguzi wakunga- Amir Batenga

Hatuna namna ya kupunguza vifo vya watoto wachanga na wazazi  tukiwaweka pembeni wauguzi wakunga- Amir Batenga

Pakua

Kupitia mfululizo wa makala za Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa ambazo zinaangazia wakunga na wauguzi katika mwaka huu wa 2020 ambao umetambuliwa na Umoja wa Mataifa kama mwaka wa kuwaenzi wauguzi na wakunga, Amir Batenga wa UNFPA Simiyu akitekeleza mradi wa kusaidia kupunguza vifo vya watoto wachanga na wanawake, mkoani Simiyu Tanzania  kupitia makala hii anamweleza Stella Vuzo wa Kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa, Dar es Salaam nchini Tanzania namna ambavyo UNFPA imesaidia kuokoa maisha ya akina mama na watoto wachanga kutokana na ushirikiano na wauguzi na wakunga.

Audio Credit
Brenda Mbaitsa/ Amir Batenga
Audio Duration
3'29"
Photo Credit
UNICEF/UN0159224/Naftalin