Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

20 Februari 2020

20 Februari 2020

Pakua

Jaridani Assumpta Massoi leo Februari 20, 2020

-Viongozi Sudan Kusini wanyima wananchi chakula kwa makusudi- Ripoti

- Mkutano wa mjadala kuhusu katiba unalenga kuhakikisha ujumuishwaji wa sauti za raia Somalia

-Hata baada ya kuvuka baharí ya Mediteranea bado maisha ni shubiri kwa wakimbizi-UNHCR

Kwenye makala tunaeleka Simiyu nchini Tanzania.

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
12'