20 Februari 2020
Pakua
Jaridani Assumpta Massoi leo Februari 20, 2020
-Viongozi Sudan Kusini wanyima wananchi chakula kwa makusudi- Ripoti
- Mkutano wa mjadala kuhusu katiba unalenga kuhakikisha ujumuishwaji wa sauti za raia Somalia
-Hata baada ya kuvuka baharí ya Mediteranea bado maisha ni shubiri kwa wakimbizi-UNHCR
Kwenye makala tunaeleka Simiyu nchini Tanzania.
Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
12'