Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

18 Februari 2020

18 Februari 2020

Pakua

Sikiliza Jarida la Habari la Februari 18, 2020 na Assumpta Massoi

Pata Habari ikiwemo: Akiwa ziarani nchini Pakistan, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa apongeza Pakistan kwa juhudi zake kukabiliana na polio huku akisisitiza kuwa kutokomeza polio ni moja ya vipaumbele vya Umoja wa Mataifa.

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR laelezea masikitiko yake kufuatia vifo wakati wakimbizi waking'ang'ania mgao wa chakula nchini Niger.

Na nchini Sudan Kusini idadi ya majimbo bado ni shubiri katika uundaji wa serikali ya mpito.

Makala tunaendelea na mfululizo wa makala kuhusu wakunga na wauguzi.

 

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
11'20"