Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mradi wa ProPESCA wabadili maisha ya wavuvi Msumbiji:IFAD

Mradi wa ProPESCA wabadili maisha ya wavuvi Msumbiji:IFAD

Pakua

Mradi unaoendesha na mfuko wa kimataifa kwa ajili ya maendeleo ya kilimo IFAD ujulikanao kama ProPESCA umebadili maisha ya wavuvi wengi wanaoshi katika mwambao wa Msumbiji waliohofia uvuvi wa kupindukia na mabadiliko ya tabianchi.

Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
2'31"
Photo Credit
FAO/Sia Kambou