Maktaba iliyokarabatiwa na walinda amani wa UNMISS ni fursa ya 'kuepuka' hali ukimbizi
Pakua
Walinda amani wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini, UNMISS wamekarabati maktaba na kuijaza vitabu vipya na vikukuu ili watoto wanoishi ndani ya vituo vya ulinzi wa raia vya Umoja wa Mataifa Juba waweze kupata fursa bora katika maisha yao.
Audio Credit
UN News/Grace Kaneiya
Audio Duration
3'6"