Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jamii ya sasa wana imani zaidi na hospital kuliko wakunga wa jadi-Mkunga wa jadi

Jamii ya sasa wana imani zaidi na hospital kuliko wakunga wa jadi-Mkunga wa jadi

Pakua

Kwa miaka mingi kabla ya ukuaji wa teknolojia na hata baada ya kuanzishwa hospitali za kisasa, jamii nyingi ziliendelea kuwatumia wakunga wa jadi kuwasaidia akina mama wajawazito kujifungua hususani kwa wale walikuwa mbali na huduma za kiafya. Bi Rehema Muhando wa kijiji cha Mwera huko Pangani Tanga Tanzania anasema ameifanya kazi ya ukunga kwa miaka mingi na anajivunia kuwa watoto wengi wamepita mikononi mwake. Lakini anasema hivi sasa, jamii imebadilika sana. 

Audio Credit
UN News
Audio Duration
6'5"
Photo Credit
© UNICEF/Thomas Nybo