Watu wakiona mikoba niliyoshona ni lazima wahoji aliyeshona- Harriet
Pakua
Harriet Mkeshimana ni mkimbizi kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo, DRC ambaye kwa sasa anaishi katika kambi ya Kakuma katika makazi ya Kalobeyei kaunti ya Turkana nchini Kenya.
Audio Credit
UN News
Audio Duration
2'6"