Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Watu wakiona mikoba niliyoshona ni lazima wahoji aliyeshona- Harriet

Watu wakiona mikoba niliyoshona ni lazima wahoji aliyeshona- Harriet

Pakua

Harriet Mkeshimana ni mkimbizi kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo, DRC ambaye kwa sasa anaishi katika kambi ya Kakuma katika makazi ya Kalobeyei kaunti ya Turkana nchini Kenya.

Audio Credit
UN News
Audio Duration
2'6"
Photo Credit
UN News/Laura Quinones