Kinasa sauti nilichopewa na redio ya jamii Karagwe ndicho kimenipa ufaulu wa juu wa masomo:Mhitimu
Pakua
Mhitimu wa kidato cha nne wa shule ya sekondari Ruhinda ya Wilayani Karagwe, Kagera nchini Tanzania amekishukuru Kituo cha Redio ya kijamii cha Karagwe kwa kumsaidia wakati wa masomo yake na hivyo kuweza kufaulu mtihani wake wa Taifa kwa kiwango cha daraja la kwanza.
Audio Credit
UN News
Audio Duration
2'2"