UN yahimiza umuhimu wa radio duniani kama chombo kinachounganisha jamii
Pakua
Ikiwa leo ni siku ya Radio duniani Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema Radio inasalia kuwa chombo muhimu katika jamii kinachowaleta watu pamoja.
Audio Credit
UN News/Flora nducha
Audio Duration
1'16"