Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN yahimiza umuhimu wa radio duniani kama chombo kinachounganisha jamii

UN yahimiza umuhimu wa radio duniani kama chombo kinachounganisha jamii

Pakua

Ikiwa leo ni siku ya Radio duniani Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema   Radio inasalia kuwa chombo muhimu katika jamii kinachowaleta watu pamoja.

Audio Credit
UN News/Flora nducha
Audio Duration
1'16"
Photo Credit
UN /MINUSCA