Miradi ya UNHCR na EU yaleta nuru kwa wakimbizi na wenyeji makazi ya Kolobeyei, Kenya
Pakua
Soko la mboga mboga la Natukobenyo linaloendeshwa na wakimbizi na jamii zinazowahifadhi ni moja ya miradi inayofadhiliwa na muungano wa Ulaya magharibi mwa Kenya katika makazi ya Kalobeyei kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR.
Audio Credit
UN News/Brenda Mbaitsa
Audio Duration
2'13"