UNHCR yasema hali inazidi kuwa mbaya kwa waliotawanywa na machafuko DRC 11 Februari 2020 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limesema linatiwa wasiwasi mkubwa na kuendelea kuzorota kwa hali ya kibinadamu nchini Jamhuroi ya Kidemokrasia ya Congo DRC hasa eneo la Mashariki kwenye jimbo la Beni. Audio Credit UN News/Grace Kaneiya Audio Duration 2'16" Photo Credit © UNHCR/Pumla Rulashe DRC wakimbizi msaada wa kibinadamu