Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mwanafunzi wa uuguzi ahidi kuhudumu kwa dhati akianza kazi, Uganda

Mwanafunzi wa uuguzi ahidi kuhudumu kwa dhati akianza kazi, Uganda

Pakua

Miti michanga ndio huleta uhakika wa uendelevu wa msitu. Sawa na hivyo, wanafunzi wa ukunga ndio uhakika wa uwepowa huduma yao kesho na baadaye. Kuendelea na msururu wa makala yetu kuhusu wauguzi na wakunga mwaka huu, tuelekee nchini Uganda ambapo John Kibego amezungumuza na mwanafunzi Cyrus Kanzike wa chuo cha wauguzi na wakunga cha Hoima School of Nursing and Midwifery mjini Hoima. Kijana huyo anaeleza sababu zilizomsukumiza kuamua kusomea ukunga ikiwemo kifo cha nyanya yake katika maumimu kakubwa baada ya kuugua kiharusi.

Audio Credit
UN News/John Kibego
Sauti
3'40"
Photo Credit
UNFPA Mozambique