Mradi wa WFP waleta neema kwa watoto na wazalishaji wa maziwa Burkina Faso
Pakua
Mradi wa shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula WFP umeleeta neema kwa wafugaji wazalishaji wa maziwa nchini Burkinafaso sio tu kwa kuwaepusha na umasikini lakini pia kukidhi mahitaji ya familia zao na hasa watoto wao wanaopata lishe bora ya maziwa hayo shuleni.
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Sauti
1'48"