Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uganda yaimarisha juhudi za kudhibiti nzige

Uganda yaimarisha juhudi za kudhibiti nzige

Pakua

Serikali ya Uganda inafanya juu chini kudhibiti nzige amabo tayari wamevamia maeneo ya kaskazini mashari mwa nchini hiyo.  Imekuwa chonjo tangu nzige hao wasogelee mpaka wake na Kenya. 

Audio Credit
UN News/John Kibego
Audio Duration
2'30"
Photo Credit
Picha: FAO/G.Tortoli