Uganda yaimarisha juhudi za kudhibiti nzige
Pakua
Serikali ya Uganda inafanya juu chini kudhibiti nzige amabo tayari wamevamia maeneo ya kaskazini mashari mwa nchini hiyo. Imekuwa chonjo tangu nzige hao wasogelee mpaka wake na Kenya.
Audio Credit
UN News/John Kibego
Audio Duration
2'30"