Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Manusura wa ukeketaji na juhudi za kuwaokoa wasichana kuepukana na uovu huo Tanzania

Manusura wa ukeketaji na juhudi za kuwaokoa wasichana kuepukana na uovu huo Tanzania

Pakua

Dunia imeendelea kupambana na ukatili mkubwa wanaofanyiwa wasichana na wanawake lilikwemo suala la ukeketaji ambapo sehemu ya kiungo cha uzazi cha mwanamke aghalabu wasichana wa umri mdogo hukatwa kutokana na imani za mila. Manusura Robi Samuel huko Tanzania ni mmoja wa watu ambao wamekuwa jasiri wa kuweka wazi kuwa wamekeketwa na sasa anapambana kuhakikisha hakuna mtoto mwingine wa kike anayekumbana na madhila haya. Warren Bright, Afisa Mkuu wa mawasiliano wa UNFPA Tanzania, amezungumza na Robi katika Makala hii ya kuelimisha.

Audio Credit
UN News
Audio Duration
6'1"
Photo Credit
UNICEF/Catherine Ntabadde