WHO yasema ukeketaji unaathiri wasichana na wanawake na gharama ya matibabu ni dola bilioni 1.4 kwa mwaka kimataifa 6 Februari 2020 Habari kwa Ujumla Pakua Wakati dunia ikiadhimisha siku ya kutokomeza ukeketaji, shirika la afya ulimwenguni, WHO limesema kitendo hicho kinadhoofisha uchumi pamoja na nguvu kazi. Audio Credit UN News/Flora Nducha Audio Duration 3'23" Photo Credit Warren Bright/UNFPA Tanzania Ukeketaji Siku za UN FGM