Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WHO yasema ukeketaji unaathiri wasichana na wanawake na gharama ya matibabu ni dola bilioni 1.4 kwa mwaka kimataifa

WHO yasema ukeketaji unaathiri wasichana na wanawake na gharama ya matibabu ni dola bilioni 1.4 kwa mwaka kimataifa

Pakua

Wakati dunia ikiadhimisha siku ya kutokomeza ukeketaji, shirika la afya ulimwenguni, WHO limesema kitendo hicho kinadhoofisha uchumi pamoja na nguvu kazi.

Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
3'23"
Photo Credit
Warren Bright/UNFPA Tanzania