Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Janga la njaa lanyemelea Sudan Kusini WFP yatiwa hofu kubwa

Janga la njaa lanyemelea Sudan Kusini WFP yatiwa hofu kubwa

Pakua

Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP linashtushwa na hofu mpya ya viwango vya janga la njaa wakati huu likikabiliwa na ukata wa fedha za msaada huko Sudani Kusini

Audio Credit
UN News/Brenda Mbaitsa
Sauti
2'26"
Photo Credit
WFP/Alexis Masciarelli