OCHA yasema zaidi ya watu 520,000 wamefurushwa makwao Syria kwa miezi miwili iliyopita
Pakua
Umoja wa Mataifa na washirika wake wa masuala ya kibinadamu wanaongeza juhudi za kukabiliana na mahitaji ya maelfu ya watu waliojikuta katikati ya machafuko Kaskazini Magharibi mwa Syria
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
2'7"