Hali inatisha Syria, vituo vya afya 50 vyalazimika kusitisha shughuli zake. 3 Februari 2020 Habari kwa Ujumla Pakua WHO imeeleza wasiwasi wake kuhusu vitisho vinavyowakabili mamia ya maelfu wa Syria ambao wamelazishwa kukimbia kutokana na uhasama ulioongezeka kaskazini magharibi mwa Syria na pia mashambulizi katika huduma za afya Audio Credit UN News/Grace Kaneiya Audio Duration 1'36" Photo Credit © UNICEF Syria Idlib Rick Brennan