Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mikakati ya kupambana na homa ya manjano nchini Uganda

Mikakati ya kupambana na homa ya manjano nchini Uganda

Pakua

Uganda, imeimarisha juhudi za kudhibiti mlipuko wa homa ya manjano kaskazini magharini na magharibi ya kati mwa nchi wakati huu ambapo tayari watu wanne wameaga dunia kutokana na mpuko wa homa ya njano kama anavyosimulia mwandishi wetu John Kibego katika ripoti ifuatayo.

Audio Credit
UN News/John Kibego
Sauti
2'44"
Photo Credit
© UNICEF/Thomas Nybo