UNMISS na Sudan Kusini watatua shida ya wizi wa mifugo
Pakua
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kuisni, UNMISS kwa kushirikiana na mamlaka nchini humo katika juhudi za pamoja wamezindua kampeni ya kuchagiza amani wakilenga wamiliki wa mifugo waliojihami katika kambi katika baadhi ya maeneo.
Audio Credit
UN News/Priscilla Lecomte
Audio Duration
3'2"