UN yasema lazima kuwe na uwajibikaji wa vifo vya mashambulizi ya anga Libya
Pakua
Umoja wa Mataifa umerea wito wake wa kuhakikisha kwamba uchunguzi huru na wa kina unafanyika Libya dhidi ya mashambulizi ya Julai 2019 yaliyokatili maisha ya takribani wakimbizi na wahamiaji 53, na wahusika lazima wawajibishwe
Audio Credit
UN News/Anold Kayanda
Audio Duration
3'37"