UNSOM yasema dola bilioni 1 zahitajika kusaidia watu milioni 3 mwaka 2020 Somalia
Pakua
Serikali ya shirikisho ya Somalia na washirika wa kimataifa wamezindua mpango unaohitaji zaidi ya dola bilioni moja ili kuweza kutoa msaada wa kibidamu unaohitajika nchini humo. Flora Nducha na taarifa zaidi
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
2'45"