23 Januari 2020 23 Januari 2020 Jarida la Habari Pakua ICJ yaitaka Myanmar kuwalinda Warohingya dhidi ya mauaji ya kimbari. Vikosi vya upinzani Sudan Kusini vyaanza kujumuishwa kwenye jeshi la kitaifa. Dola bilioni 1 zahitajika kusaidia watu milioni 3 mwaka 2020 Somalia. Audio Credit Assumpta Massoi Audio Duration 11'26" ICJ Somalia sudan kusini haki za binadamu