Mangariba watupa visu vya ukeketaji Sierra Leone
Pakua
Mangariba zaidi ya 60 nchini Sierra Leone maarufu kama Soweis wamekata shauri na kuvitelekeza visu vyao walivyovitumia miaka nenda miaka rudi kukeketa maelfu ya wanawake na wasichana.
Audio Credit
John Kibego
Audio Duration
1'42"