WHO yaonya uvutaji tumbaku unaongeza hatari ya madhila baada ya upasuaji 20 Januari 2020 Habari kwa Ujumla Pakua Wavutaji wa bidhaa za tumbaku wako katika hatari kubwa ya kupata madhila zaidi baada ya kufanyiwa upasuaji kuliko wasiovuta bidhaa hizo limeonya shirika la afya duniani WHO. Audio Credit Grace Kaneiya Audio Duration 1'52" Photo Credit World Bank/Curt Carnemark