Msaada wahitajika kwa wakimbizi na jamii zinazowahifadhi nchini Sudan: UNHCR
Pakua
Shirika la kuhudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR lina mpango wa kuongeza msaada kwa Sudan kwa kutoa ombi la dola milioni 477 kusaidia wakimbizi 900,000 nchini humo pamoja na karibu watu robo milioni wanaowapa hifadhi katika kipindi cha mwaka mmoja ujao.
Audio Credit
UN News/Jason Nyakundi
Audio Duration
2'1"