Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Je wajua kuwa ukubwa wa ziwa Tanganyika unazidi kupungua?

Je wajua kuwa ukubwa wa ziwa Tanganyika unazidi kupungua?

Pakua

Nchini Tanzania, Ziwa Tanganyika lililopo mkoani Kigoma lasifika kwa kuwa la pili kwa kuwa na kina kikubwa zaidi duniani. Hata hivyo, kina na ukubwa wa ziwa vinapungua kutokana na mabadiliko ya tabianchi na shughuli za binadamu. Miongoni mwa mashuhuda wa hali hiyo ni Bwana  Kassim Govola Mbingo ambaye ni mhifadhi mkuu katika makumbusho ya Dkt. David Livingstone mjini Ujiji mkoani Kigoma. Katika mahojiano yake na Assumpta Massoi wa Idhaa hii ya Kiswahili ya  Umoja wa Mataifa anafafanua

Audio Credit
Grace Kaneiya/ Assumpta Massoi/ Kassim Govola Mbingo
Audio Duration
3'55"
Photo Credit
UN News/Assumpta Massoi