Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

13 JANUARI 2020

13 JANUARI 2020

Pakua

Katika Jarida la Habari hii leo Grace Kaneiya anakuletea

-Miaka 10 baada ya tetemeko baya la ardhi nchini Haiti athari zake zinaendelea kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji IOM

-Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limeutenga mwaka 2020 kuwa ni wa afya ya mimea kwa kutambua mchango na thamani ya mimea hiyo kwa maisha ya watu na syari dunia

-Maelfu ya Wavenezuela wakiwemo watoto wanaendelea kufungasha virago na kukimbilia nchi jirani ikiwemo Brazil limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF

-Makala yetu leo inatupeleka Tanzania ambako mabadiliko ya tabianchi na shuhguli za kibinadamu vinasababisha kupungua kwa ukubwa wa ziwa Tanganyika

-Na mashinani leo  tunapata ujumbe kutoka kwa Bw. Evans Siangicha Mratibu wa shughuli za Umoja wa Mataifa mkoani Kigoma nchini Tanzania.

Audio Credit
UN News/Grace Kaneiya
Audio Duration
11'50"