Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNCTAD yasema uwekezaji kutoka pato la taifa ni hatua ya kwanza tu katika kufanikisha SDGs Afrika

UNCTAD yasema uwekezaji kutoka pato la taifa ni hatua ya kwanza tu katika kufanikisha SDGs Afrika

Pakua

Wakati dunia imeanza muongo wa mwisho kuelekea ukomo wa malengo ya maendeleo endelevu ya Umoja wa Mataifa au SDGs, mwelekeo wa mataifa katika kufanikisha malengo hayo unaathiriwa na mambo mbali mbali ikiwemo migogoro ya kimataifa.

Audio Credit
UN News/Assumpta Massoi
Audio Duration
6'25"
Photo Credit
UN News/Grece Kaneiya