Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

10 JANUARI 2020

10 JANUARI 2020

Pakua

Flora Nducha wa UN News Kiswahili anatupa habari zifuatazo:

-Ripoti ya Umoja wa Mataifa yaonya yaliyojiri baina ya Walendu na Wahema DRC huenda ukawa uhalifu dhidi ya ubinadamu 

-Kwa mujibu wa UNCTAD uwekezaji kutoka pato la taifa ni hatua ya kwanza katika kufanikisha SDGs Afrika

-Mahitaji ya upinzani Lirangu Sudan Kusini yamenza kutimizwa kwa mujibu wa UNMISS

-Kamati ya kimataifa ya Olimpiki IOC hii leo imelitunukia tuzo ya juu ya kikombe cha  Olimpiki shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi UNHCR 

-Na sheria mpya iliyopitishwana bunge nchini El Salvador itakuwa mkombozi wa maelfu ya wakimbizi kutoka Amerika ya Kati.

 

Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
10'37"