08 JANUARI 2020
Pakua
katika jarida la habari la umoja wa mataifa hii leo Flora Nducha anakuletea
-Katika mkuu aisihi Ghuba kujizuia na machafuko zaidi na kuanza majadiliano
-Shirika la Afya Duniani WHO lahaha kusaka ufadhili kunisuru maelfu na ugonjwa wa surua nchini DRC
-Machafulo Burkina Fasso yawakosesha elimu maelfu ya watoto lasema shirika la UNICEF
-Makala yetu hii leo yatupeleka Kenya kwa kijana aliyekuwa mhalifu sugu lakini sasa kabidili maisha yake na ya wengine
-Na mashinani tunabisha hodi Jamhuri ya Dominika kumulika elimu ya ngono kwa vijana
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
11'38"