Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

08 JANUARI 2020

08 JANUARI 2020

Pakua

katika jarida la habari la umoja wa mataifa hii leo Flora Nducha anakuletea

-Katika mkuu aisihi Ghuba kujizuia na machafuko zaidi na kuanza majadiliano

-Shirika la Afya Duniani WHO lahaha kusaka ufadhili kunisuru maelfu na ugonjwa wa surua nchini DRC

-Machafulo Burkina Fasso yawakosesha elimu maelfu ya watoto lasema shirika la UNICEF

-Makala yetu hii leo yatupeleka Kenya kwa kijana aliyekuwa mhalifu sugu lakini sasa kabidili maisha yake na ya wengine 

-Na mashinani tunabisha hodi Jamhuri ya Dominika kumulika elimu ya ngono kwa vijana 

Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
11'38"