Nchini Afghanistan mradi wa afya wa Benki ya dunia wakomboa maeneo ya pembezoni
Pakua
Ufadhili wa Benki ya dunia wa kuboresha huduma za karibu za afya katika makazi ya watu wa wilaya iliyoko mbali na mji ya jimbo la Samangan, nchini Afghanistan kumeokoa maisha ya wengi. Kituo cha afya cha Hazrat Sultan sasa kinawaokoa wakazi wa Hazrat na adha ya safari ndefu kufuata huduma za afya.
Audio Credit
UN News/Jason Nyakundi
Audio Duration
1'33"