Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Nchini Afghanistan mradi wa afya wa Benki ya dunia wakomboa maeneo ya pembezoni

Nchini Afghanistan mradi wa afya wa Benki ya dunia wakomboa maeneo ya pembezoni

Pakua

Ufadhili wa Benki ya dunia wa kuboresha huduma za karibu za afya katika makazi ya watu wa wilaya iliyoko mbali na mji ya jimbo la Samangan, nchini Afghanistan kumeokoa maisha ya wengi. Kituo cha afya cha Hazrat Sultan sasa kinawaokoa wakazi wa Hazrat na adha ya safari ndefu kufuata huduma za afya.

Audio Credit
UN News/Jason Nyakundi
Audio Duration
1'33"
Photo Credit
UNICEF/Halabi