Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

07 Januari 2020

07 Januari 2020

Pakua

Mradi wa afya wa Benki ya dunia, mkombozi kwa maeneo ya pembezoni, Afghanstan.  OCHA inasikitishwa na hali inayoendelea kuzorota Idlib, Syria. Ghasia West Darfur, Sudan zimewaathiri maelfu. 

Audio Credit
Anold Kayanda
Audio Duration
10'25"