Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNCTAD yasema uwekezaji wa teknolojia ya kidijitali ni muhimu katika kufanikisha SDGs

UNCTAD yasema uwekezaji wa teknolojia ya kidijitali ni muhimu katika kufanikisha SDGs

Pakua

Teknolojia ya kidijitali inatoa fursa za maendeleo ambazo ni muhimu katika kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu ya Umoja wa Mataifa kuelekea ukomo wake mwaka 2030, lakini pia ina changamoto zake.

Audio Credit
UN News
Audio Duration
1'35"
Photo Credit
UNnewskiswahili/Patrick Newman