WFP yaema kuna maeneo 15 yanayohitaji msaada wa dharura 2020 2 Januari 2020 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP leo limeainisha maeneo 15 ambayo yatahitaji msaada wa dharura na uwekezaji kwa mwaka huu wa 2020. Audio Credit UN News/Grace Kaneiya Sauti 2'41" Photo Credit WFP/Gabriela Vivacqua majanga 2020 njaa Mabadiliko ya tabianchi msaada wa kibinadamu