Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN yazindua majadiliano ya maadhimisho ya 75 ya Umoja wa Mataifa

UN yazindua majadiliano ya maadhimisho ya 75 ya Umoja wa Mataifa

Pakua

Leo tarehe pili mwaka 2020, umeshuhudiwa uzinduzi wa mkakati wa Umoja wa Mataifa wa majadiliano makubwa zaidi ya kimataifa kuhusu mstakabali wa dunia. Ni majadiliano makubwa ya pamoja kuhusu jukumu la ushirikiano wa kimataifa  katika kujenga mstakabali bora kwa wote. Mpango huo utashuhudia Umoja wa Mataifa ukichochea majadiliano katika mwaka huu mpya wote wa 2020 kwenye mazingira tofauti kote duniani. 

Audio Credit
UN News/Anold Kayanda
Audio Duration
2'35"
Photo Credit
UN Photo/Mark Garten)