Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mwaka 2014-2016

Mwaka 2014-2016

Pakua

Desemba mwaka 2013 ukifunga pazia katika kijiji cha Meliandou nchini Guinea, mtoto Emile Ouamouno alifariki. Hii ilikuwa ni pigo kubwa kwa familia yake lakini kifo hicho kilikuwa na athari zaidi baada ya Emile kutajwa kama mgonjwa wa mwanzo kabisa wa ,mlipuko mbaya zaidi wa Ebola kuwahi kushuhudiwa.

Audio Credit
UN News/Grace Kaneiya
Audio Duration
3'59"
Photo Credit
UN Photo.