WFP yasema Zimbabwe iko katika hatihati ya janga la njaa 30 Disemba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Zimbabwe iko katika hati hati ya janga la njaa limesema shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP likiongeza kuwa karibu watu milioni 8 sawa na nusu ya watu wote wa nchi hiyo hawana uhakika wa chakula. Audio Credit UN News/Grace Kaneiya Audio Duration 1'52" Photo Credit WFP/Tatenda Macheka WFP Zimbabwe njaa Ukame Mabadiliko ya tabianchi