UNICEF yasema zaidi ya watoto 170,000 walishambuliwa tangu 2010 katika nchi zilizo na mizozo 30 Disemba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Watoto wanazidi kubeba gharama na kukumbwa na madhila wakati mizozo ikiendelea kushuhudiwa duniani, kwa mujibu wa ripoti ya shirika la kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa , UNICEF iliyotolewa leo. Audio Credit UN News/Anold Kayanda Audio Duration 2'1" Photo Credit ©UNICEF/Watad UNICEF watoto mizozo vita