Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kufanya kazi kwa vitendo ni moja ya vitu vilivyonisaidi kufikia nilipofika maishani-Kijana Katuma

Kufanya kazi kwa vitendo ni moja ya vitu vilivyonisaidi kufikia nilipofika maishani-Kijana Katuma

Pakua

Kijana Richard Katuma ni mmoja wa vijana ambao kwa wakati mmoja alikuwa ni mchanigaji wa vipindi vyetu kwenye Idhaa ya Kiswahili ya UN News alipokuwa akifanya kazi na moja ya radio washirika, lakini kama anavyosimulia katika mahojiano na Assumpta Massoi wa Idhaa hii mabadiliko katika maisha yalimlazimu yeye kubadili mtindo wa maisha. Hatahivyo kuna baadhi ya mambo ikiwemo kufanya kazi kwa vitendo ambayo anasema yalimsaidia yeye katika kufanikisha masomo yake lakini pia kupata ajira. Kulikoni? Basi ungana naye katika makala hii.

Audio Credit
Brenda Mbaitsa/ Assumpta Massoi/ Richard Katuma
Sauti
3'47"
Photo Credit
UN News/Elizabeth Scaffidi