WHO yasema idadi ya wanaume wanaotumia bidhaa za tumbaku imepungua. 19 Disemba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la afya ulimwenguni, WHO linakadiria kwa mara ya kwanza kwamba idadi ya wanaume wanaotumia tumbaku imepungua ikiashiria mabadliko katika janga la tumbaku kimataifa. Audio Credit UN News/John KIbego Audio Duration 2'2" Photo Credit UN News/Yasmina Guerda tumbaku Dkt. Ruediger Krech