Usipomsaidia mhamiaji leo, unaijuaje kesho yako?
Pakua
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa pamoja na viongozi wengine wa juu wa Umoja wa Mataifa, wakitoa wito kwa dunia kuhakikishia ulinzi wa haki za binadamu kwa wahamiaji. Asya Omar Mwilima ni mhamiaji kutoka Zanzibar Tanzania ambaye alihamia nchini Marekani takribani miaka 20 iliyopita na anakubaliana na wito wa Umoja wa Mataifa.
Audio Credit
UN News/Anold Kayanda
Audio Duration
2'36"