Guterres awakumbusha viongozi kuhusu deni yao ya huduma ya afya kwa wote
Pakua
Katika Siku ya huduma za afya kwa wote, hii leo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mastaifa ametoa wito kwa viongozi wa dunia kutimiza ahadi waliyoitoa mwezi Septemba mwaka huu na kuhakikisha afya kwa wote ni hali halisi kwa kila mtu, kila mahali.
Audio Credit
UN News/John Kibego
Audio Duration
2'5"