Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hatua mujarabu yachukuliwa kuhakikisha tabiri za hali ya hewa zina 'mashiko'

Hatua mujarabu yachukuliwa kuhakikisha tabiri za hali ya hewa zina 'mashiko'

Pakua

Mashirika 12 ya kimataifa yanayotoa msaada katika nchi zinazoendelea leo yamekuja pamoja kwenye mkutano wa 25 wa nchi wanachama wa mkataba wa mabadiliko ya tabianchi, COP25 unaofanyika huko Madrid nchini Hispania  na kuzindua ushirika mpya kwa ajili ya kuboresha masuala ya utabiri wa hali ya hewa, maji na huduma za mabadiliko ya tabianchi  au Alliance for Hydromet Development.

Audio Credit
UN/Anold Kayanda
Audio Duration
1'48"
Photo Credit
WFP/Gemma Snowdon