Hatua mujarabu yachukuliwa kuhakikisha tabiri za hali ya hewa zina 'mashiko'
Pakua
Mashirika 12 ya kimataifa yanayotoa msaada katika nchi zinazoendelea leo yamekuja pamoja kwenye mkutano wa 25 wa nchi wanachama wa mkataba wa mabadiliko ya tabianchi, COP25 unaofanyika huko Madrid nchini Hispania na kuzindua ushirika mpya kwa ajili ya kuboresha masuala ya utabiri wa hali ya hewa, maji na huduma za mabadiliko ya tabianchi au Alliance for Hydromet Development.
Audio Credit
UN/Anold Kayanda
Audio Duration
1'48"